1Nitakutukuza wewe, Ee Bwana*,
2Ee Bwana*, Mungu wangu, nilikuita unisaidie
3Ee Bwana*, umenitoa Kuzimu,
4Mwimbieni Bwana*, enyi watakatifu wake;
5Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,
6Nilipofanikiwa nilisema,
7Ee Bwana*, uliponijalia,
8Kwako wewe, Ee Bwana*, niliita,
9“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?
10Ee Bwana*, unisikie na kunihurumia,
11Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,