Zaburi 31:1-23 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana*, nimekukimbilia wewe,

2Nitegee sikio lako,

3Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu,

4Uniepushe na mtego niliotegewa,

5Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako,

6Ninawachukia wale wanaongʼangʼania sanamu batili;

7Nitafurahia na kushangilia upendo wako,

8Hukunikabidhi kwa adui yangu

9Ee Bwana* unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida;

10Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi,

11Kwa sababu ya adui zangu wote,

12Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu aliyekufa,

13Kwa maana nimesikia maneno niliyosingiziwa na wengi;

14Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Bwana*;

15Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako,

16Mwangazie mtumishi wako uso wako,

17Usiniache niaibike, Ee Bwana*,

18Midomo yao isemayo uongo na inyamazishwe,

19Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako,

20Unawahifadhi katika uvuli wa uwepo wako

21Atukuzwe Bwana*,

22Katika hofu yangu nilisema,

23Mpendeni Bwana* ninyi watakatifu wake wote!

>