1Mwimbieni Bwana* kwa furaha, enyi wenye haki;
2Msifuni Bwana* kwa kinubi,
3Mwimbieni wimbo mpya;
4Maana neno la Bwana* ni haki na kweli,
5Bwana* hupenda uadilifu na haki;
6Kwa neno la Bwana* mbingu ziliumbwa,
7Ameyakusanya maji ya bahari
8Dunia yote na imwogope Bwana*,
9Kwa maana Mungu alisema, na ikawa,
10Bwana* huzuia mipango ya mataifa,
11Lakini mipango ya Bwana* inasimama imara milele,
12Heri taifa ambalo Bwana* ni Mungu wao,
13Kutoka mbinguni Bwana* hutazama chini
14kutoka maskani mwake huwaangalia
15yeye ambaye huumba mioyo yao wote,
16Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake;
17Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,
18Lakini macho ya Bwana* yako kwa wale wamchao,
19ili awaokoe na mauti,
20Sisi tunamngojea Bwana* kwa matumaini,
21Mioyo yetu humshangilia,