Zaburi 33:1-21 ONEN - Bible AI

1Mwimbieni Bwana* kwa furaha, enyi wenye haki;

2Msifuni Bwana* kwa kinubi,

3Mwimbieni wimbo mpya;

4Maana neno la Bwana* ni haki na kweli,

5Bwana* hupenda uadilifu na haki;

6Kwa neno la Bwana* mbingu ziliumbwa,

7Ameyakusanya maji ya bahari

8Dunia yote na imwogope Bwana*,

9Kwa maana Mungu alisema, na ikawa,

10Bwana* huzuia mipango ya mataifa,

11Lakini mipango ya Bwana* inasimama imara milele,

12Heri taifa ambalo Bwana* ni Mungu wao,

13Kutoka mbinguni Bwana* hutazama chini

14kutoka maskani mwake huwaangalia

15yeye ambaye huumba mioyo yao wote,

16Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake;

17Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,

18Lakini macho ya Bwana* yako kwa wale wamchao,

19ili awaokoe na mauti,

20Sisi tunamngojea Bwana* kwa matumaini,

21Mioyo yetu humshangilia,

>