1Nitamtukuza Bwana* nyakati zote,
2Nafsi yangu itajisifu katika Bwana*,
3Mtukuzeni Bwana* pamoja nami,
4Nilimtafuta Bwana* naye akanijibu,
5Wale wamtazamao hutiwa nuru,
6Maskini huyu alimwita Bwana*, naye akamsikia,
7Malaika wa Bwana* hufanya kituo
8Onjeni mwone kwamba Bwana* ni mwema,
9Mcheni Bwana* enyi watakatifu wake,
10Wana simba wenye nguvu
11Njooni, watoto wangu, mnisikilize,
12Yeyote kati yenu anayependa uzima
13basi auzuie ulimi wake na mabaya,
14Aache uovu, atende mema,
15Macho ya Bwana* huwaelekea wenye haki,
16Uso wa Bwana* uko kinyume na watendao maovu,
17Wenye haki hulia, naye Bwana* huwasikia,
18Bwana* yu karibu na waliovunjika moyo,
19Mwenye haki ana mateso mengi,
20huhifadhi mifupa yake yote,
21Ubaya utamuua mtu mwovu,