Zaburi 34:1-21 ONEN - Bible AI

1Nitamtukuza Bwana* nyakati zote,

2Nafsi yangu itajisifu katika Bwana*,

3Mtukuzeni Bwana* pamoja nami,

4Nilimtafuta Bwana* naye akanijibu,

5Wale wamtazamao hutiwa nuru,

6Maskini huyu alimwita Bwana*, naye akamsikia,

7Malaika wa Bwana* hufanya kituo

8Onjeni mwone kwamba Bwana* ni mwema,

9Mcheni Bwana* enyi watakatifu wake,

10Wana simba wenye nguvu

11Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

12Yeyote kati yenu anayependa uzima

13basi auzuie ulimi wake na mabaya,

14Aache uovu, atende mema,

15Macho ya Bwana* huwaelekea wenye haki,

16Uso wa Bwana* uko kinyume na watendao maovu,

17Wenye haki hulia, naye Bwana* huwasikia,

18Bwana* yu karibu na waliovunjika moyo,

19Mwenye haki ana mateso mengi,

20huhifadhi mifupa yake yote,

21Ubaya utamuua mtu mwovu,

>