1Ee Bwana*, pingana na wale wanaopingana nami,
2Chukua ngao na kigao.
3Inua mkuki wako na fumo+ 35:3 Fumo ni sawa na sagai, maana yake ni mkuki mfupi.* lako
4Wafedheheshwe na waaibishwe
5Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,
6Njia yao na iwe giza na ya utelezi,
7Kwa vile walinifichia wavu wao bila sababu,
8maafa na yawapate ghafula:
9Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Bwana*
10Nitapaza sauti yangu nikisema,
11Mashahidi wakatili wanainuka,
12Wananilipa baya kwa jema
13Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo ya gunia
14niliendelea kuomboleza
15Lakini nilipojikwaa,
16Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki,
17Ee Bwana*, utatazama mpaka lini?
18Nami nitakushukuru mbele ya kusanyiko kubwa,
19Usiwaache wale wanaonisimanga,
20Hawazungumzi kwa amani,
21Hunifumbulia vinywa vyao wakisema, “Aha! Aha!
22Ee Bwana*, umeona hili, usiwe kimya.
23Amka, inuka unitetee!
24Nihukumu kwa haki yako, Ee Bwana* Mungu wangu,
25Usiwaache wafikiri, “Aha, hili ndilo tulilotaka!”
26Wote wanaofurahia dhiki yangu
27Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki