Zaburi 39:1-12 ONEN - Bible AI

1Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu

2Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,

3Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,

4“Ee Bwana*, nijulishe mwisho wa maisha yangu

5Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;

6Hakika kila binadamu ni kama njozi

7“Lakini sasa Bwana, nitafute nini?

8Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,

9Nilinyamaza kimya,

10Niondolee mjeledi wako,

11Unakemea na kuadhibu wanadamu

12“Ee Bwana*, usikie maombi yangu,

>