Zaburi 41:1-12 ONEN - Bible AI

1Heri mtu yule anayemjali mnyonge,

2Bwana* atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,

3Bwana* atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,

4Nilisema, “Ee Bwana* nihurumie,

5Adui zangu wanasema kwa hila,

6Kila anapokuja mtu kunitazama,

7Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu,

8“Ugonjwa mbaya sana umempata,

9Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini,

10Lakini wewe, Ee Bwana*, nihurumie,

11Najua kwamba wapendezwa nami,

12Katika uadilifu wangu unanitegemeza

>