Zaburi 48:1-13 ONEN - Bible AI

1Bwana* ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

2Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,

3Mungu yuko katika ngome zake;

4Wakati wafalme walipounganisha nguvu,

5walimwona nao wakashangaa,

6Kutetemeka kuliwashika huko,

7Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi

8Kama tulivyokuwa tumesikia,

9Ee Mungu, hekaluni mwako

10Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,

11Mlima Sayuni unashangilia,

12Tembeeni katika Sayuni,

13yatafakarini vyema maboma yake,

>