Zaburi 5:1-11 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana*, tegea sikio maneno yangu,

2Sikiliza kilio changu ili unisaidie,

3Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee Bwana*;

4Wewe si Mungu unayefurahia uovu,

5Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako,

6Unawaangamiza wasemao uongo.

7Lakini mimi, kwa rehema zako kuu,

8Niongoze katika haki yako, Ee Bwana*,

9Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika,

10Uwatangaze kuwa wenye hatia, Ee Mungu!

11Lakini wote wakimbiliao kwako na wafurahi,