1Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,
2Uniponye na watu watendao mabaya,
3Tazama wanavyonivizia!
4Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.
5Ee Bwana* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!
6Hurudi wakati wa jioni,
7Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,
8Lakini wewe, Bwana*, uwacheke;
9Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,
10Mungu wangu unipendaye.
11Lakini usiwaue, Ee Bwana*, ngao yetu,
12Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,
13wateketeze katika ghadhabu,
14Hurudi jioni,
15Wanatangatanga wakitafuta chakula,
16Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,