Zaburi 59:1-16 ONEN - Bible AI

1Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,

2Uniponye na watu watendao mabaya,

3Tazama wanavyonivizia!

4Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.

5Ee Bwana* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!

6Hurudi wakati wa jioni,

7Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,

8Lakini wewe, Bwana*, uwacheke;

9Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,

10Mungu wangu unipendaye.

11Lakini usiwaue, Ee Bwana*, ngao yetu,

12Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,

13wateketeze katika ghadhabu,

14Hurudi jioni,

15Wanatangatanga wakitafuta chakula,

16Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,

>