1Ee Bwana*, usinikemee katika hasira yako,
2Unirehemu Bwana*,
3Nafsi yangu ina uchungu mwingi.
4Geuka Ee Bwana*, unikomboe,
5Hakuna mtu anayekukumbuka
6Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;
7Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,
8Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,
9Bwana* amesikia kilio changu kwa huruma,