1Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,
2Umetetemesha nchi na kuipasua;
3Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;
4Kwa wale wanaokucha wewe,
5Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,
6Mungu amenena kutoka patakatifu pake:
7Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;
8Moabu ni sinia langu la kunawia,
9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?
10Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,
11Tuletee msaada dhidi ya adui,