Zaburi 62:1-11 ONEN - Bible AI

1Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;

2Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

3Mtamshambulia mtu hata lini?

4Walikusudia kikamilifu kumwangusha

5Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,

6Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

7Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,

8Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,

9Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,

10Usitumainie vya udhalimu

11Jambo moja Mungu amelisema,

>