1Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;
2Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
3Mtamshambulia mtu hata lini?
4Walikusudia kikamilifu kumwangusha
5Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,
6Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
7Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,
8Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,
9Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,
10Usitumainie vya udhalimu
11Jambo moja Mungu amelisema,