Zaburi 64:1-9 ONEN - Bible AI

1Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,

2Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,

3Wananoa ndimi zao kama panga

4Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,

5Kila mmoja humtia moyo mwenzake

6Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,

7Bali Mungu atawapiga kwa mishale,

8Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao

9Wanadamu wote wataogopa,