Zaburi 81:1-15 ONEN - Bible AI

1Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;

2Anzeni wimbo, pigeni matari,

3Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume

4hii ni amri kwa Israeli,

5Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu

6Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao;

7Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa,

8“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya:

9Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu;

10Mimi ni Bwana* Mungu wako,

11“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza;

12Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao

13“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza,

14ningaliwatiisha adui zao kwa haraka,

15Wale wanaomchukia Bwana* wangalinyenyekea mbele zake,

>