Zaburi 82:1-7 ONEN - Bible AI

1Mungu anaongoza kusanyiko kuu,

2“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki

3Teteeni wanyonge na yatima,

4Mwokoeni mnyonge na mhitaji,

5“Hawajui lolote, hawaelewi lolote.

6“Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”;

7Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida;