Zaburi 84:1-11 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana* Mwenye Nguvu Zote,

2Nafsi yangu inatamani sana,

3Hata shomoro amejipatia makao,

4Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,

5Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako,

6Wanapopita katika Bonde la Baka,+ 84:6 Yaani Bonde la Vilio.*

7Huendelea toka nguvu hadi nguvu,

8Ee Bwana* Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;

9Ee Mungu, uitazame ngao yetu,

10Siku moja katika nyua zako ni bora

11Kwa kuwa Bwana* ni jua na ngao,

>