1Ee Bwana*, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,
2Nitafurahi na kushangilia ndani yako.
3Adui zangu wamerudi nyuma,
4Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu;
5Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu;
6Uharibifu usiokoma umempata adui,
7Bwana* anatawala milele,
8Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,
9Bwana* ni kimbilio la watu wanaoonewa,
10Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,
11Mwimbieni Bwana* sifa, amefanywa mtawala Sayuni,
12Kwa maana yeye alipizaye kisasi cha damu hukumbuka,
13Ee Bwana*, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa!
14ili niweze kutangaza sifa zako
15Mataifa wameanguka kwenye shimo walilolichimba,
16Bwana* anajulikana kwa haki yake,
17Waovu wataishia kuzimu,
18Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote,
19Ee Bwana*, inuka, usimwache binadamu ashinde.