Zaburi 94:1-22 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana*, ulipizaye kisasi,

2Ee Mhukumu wa dunia, inuka,

3Hata lini, waovu, Ee Bwana*,

4Wanamimina maneno ya kiburi,

5Ee Bwana*, wanawaponda watu wako,

6Wanamchinja mjane na mgeni,

7Nao husema, “Bwana* haoni,

8Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu;

9Je, aliyeweka sikio asisikie?

10Je, anayeadhibisha mataifa asiadhibu?

11Bwana* anajua mawazo ya mwanadamu;

12Ee Bwana*, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,

13unampa utulivu siku za shida,

14Kwa kuwa Bwana* hatawakataa watu wake,

15Hukumu itasimamishwa tena kwenye haki,

16Ni nani atakayeinuka dhidi ya mwovu kwa ajili yangu?

17Kama Bwana* asingelinisaidia upesi,

18Niliposema, “Mguu wangu unateleza,”

19Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu,

20Je, kiti cha utawala wa udhalimu kitajiunga nawe,

21Huungana kuwashambulia wenye haki,

22Lakini Bwana* amekuwa ngome yangu,

>