1Ee Bwana*, ulipizaye kisasi,
2Ee Mhukumu wa dunia, inuka,
3Hata lini, waovu, Ee Bwana*,
4Wanamimina maneno ya kiburi,
5Ee Bwana*, wanawaponda watu wako,
6Wanamchinja mjane na mgeni,
7Nao husema, “Bwana* haoni,
8Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu;
9Je, aliyeweka sikio asisikie?
10Je, anayeadhibisha mataifa asiadhibu?
11Bwana* anajua mawazo ya mwanadamu;
12Ee Bwana*, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,
13unampa utulivu siku za shida,
14Kwa kuwa Bwana* hatawakataa watu wake,
15Hukumu itasimamishwa tena kwenye haki,
16Ni nani atakayeinuka dhidi ya mwovu kwa ajili yangu?
17Kama Bwana* asingelinisaidia upesi,
18Niliposema, “Mguu wangu unateleza,”
19Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu,
20Je, kiti cha utawala wa udhalimu kitajiunga nawe,
21Huungana kuwashambulia wenye haki,
22Lakini Bwana* amekuwa ngome yangu,