Zaburi 96:1-12 ONEN - Bible AI

1Mwimbieni Bwana* wimbo mpya;

2Mwimbieni Bwana*, lisifuni jina lake;

3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

4Kwa kuwa Bwana* ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

6Fahari na enzi viko mbele yake;

7Mpeni Bwana*, enyi jamaa za mataifa,

8Mpeni Bwana* utukufu unaostahili jina lake;

9Mwabuduni Bwana* katika uzuri wa utakatifu wake;

10Katikati ya mataifa semeni, “Bwana* anatawala.”

11Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

12mashamba na yashangilie,

>