Zaburi 97:1-11 ONEN - Bible AI

1Bwana* anatawala, nchi na ifurahi,

2Mawingu na giza nene vinamzunguka,

3Moto hutangulia mbele zake

4Umeme wake wa radi humulika dunia,

5Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana*,

6Mbingu zinatangaza haki yake,

7Wote waabuduo sanamu waaibishwa,

8Sayuni husikia na kushangilia,

9Kwa kuwa wewe, Ee Bwana*, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;

10Wale wanaompenda Bwana* na wauchukie uovu,

11Nuru huangaza wenye haki

>