1Mwimbieni Bwana* wimbo mpya,
2Bwana* ameufanya wokovu wake ujulikane
3Ameukumbuka upendo wake
4Mpigieni Bwana* kelele za shangwe, dunia yote,
5mwimbieni Bwana* kwa kinubi,
6kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume:
7Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake,
8Mito na ipige makofi,